*Wadaia kugawa hongo kati ya Sh.5000 na Sh.50,000 ,Mbunge mwenyewe atoa majibu Na Shomari Binda,Rorya WAKATI joto la uchaguzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), likianza kupanda kwa baadhi ya majimbo imeelezwa katika Jimbo la Rorya mkoani Mara wajumbe waliokuwa wakipatiwa mafunzo ya utendaji ndani ya Chama hicho wamedaiwa kupewa fedha kati ya Sh.5000 hadi... Read More









