Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kimesaini mkataba na kampuni ya kandarasi ya Arm-Strong International Ltd ya jijini Mwanza kuanza ujenzi wa maabara tatu za sayansi katika kipindi cha miezi nane ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) katika chuo hiki. Akizungumza katika hafla ya utiaji... Read More








