Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson amehitisha rasmi Mkutano wa 10 wa Wabunge Vijana wa IPU uliofanyika Jijini Yerevan nchini Armenia leo tarehe 13 Septemba, 2024. Dkt Tulia ameeleza umuhimu wa ushirikishwaji wa Vijana katika nyanja zote za maamuzi hususani... Read More