Katika kuhitimisha kilele cha siku ya mlipakodi mamlaka ya mapato TRA mkoa wa iringa wametembelea vituo vya kulelea watoto yatima kituo cha Tosamaganga na kituo cha Amani kilichopo kata ya kitwiru. Akizungumza wakati wa matukio hayo mkurugenzi wa ukaguzi wa ndani TRA Ally Mnyani ambae alimuwakilisha kamishna mkuu wa TRA Yusuph Mwenda amesema wao kama... Read More










