Wasanii wa filamu Jimmy Mafufu na Shamsa Ford wametangaza kujiunga na chama cha Mapinduzi wakitokea CHADEMA wakisema kuwa uwamuzi huo umekuja baada ya kuona maendeleo hanayofanywa na chama cha Mapinduzi kupitia Mwenyekiti wake Rais Samia Suluhu Mafufu na Shamsa ambao waliambatana na waigizaji wengine kama JB, Single Mtambalike, Aunt Ezekiel, Kingwendu, Muhogo mchungu na wasanii... Read More






