-Zaidi ya shilingi bilioni 80 zimetumika miradi ya REA Njombe -Wananchi watakiwa kutunza vyanzo vya maji -REA kuwezesha waendelezaji wadogo wa umeme kutoa huduma Imeelezwa kuwa, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umepeleka umeme kwa wananchi wapatao 2,400 wa vijiji nane (8) vya Tarafa ya Lupembe, Wilaya ya Njombe mkoani Njombe baada ya kuiwezesha kampuni ya... Read More