Naibu waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na uwekezaji Stanslaus Nyongo akimwakilisha Waziri wa Fedha katika kuzindua Ofisi ya Hazina ndogo yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 4 wilayani Geita Mkoani humo amezitaka Taasisi za Kifedha nchini kuacha mara moja kukopesha fedha kwa riba kubwa na badala yake wafuate utaratibu. Akizungumza Mara baada ya... Read More







