Walimu wa Mkoa wa Shinyanga wakiwa katika Kliniki ya Samia ya kutatua changamoto za walimu. *RC Macha asema Kliniki ya Samia kutibu chnagamoto za walimu *Makamu wa Rais CWT asema watashughulika na watumishi wasioshughukia changamoto walimu. Na Mwandishi Wetu,Shinyanga MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Annamlingi Macha amesema kuwa Kliniki ya Samia kwa imekuja wakati mwafaka... Read More











