Na Mwandishi Wetu MCHEZAJI gofu ya kulipwa Nuru Mollel ana uhakika wa kutwaa ubingwa wa michuano baada ya kushinda raundi ya nne ya michuao ya Lina PG Tour mjini Moshi, ni muujiza pekee katika raundi ya tano ya michuano hiyo ndiyo itabadili muelekeo. Mollel kutoka klabu ya Arusha Gymkhana amejiweka katika nafasi nzuri ya kuwa... Read More