MKUU wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Singida kwa kupata hati safi “Clean Sheet” ya kukusanya zaidi ya asilimia 100 ya lengo la makusanyo kwa miezi saba mfululizo kuanzia Julai 2024 hadi Januari, 2025 Amesema, mkoa wa Singida umejipanga kuendeleza mafanikio hayo na kuchangia zaidi katika pato... Read More









