Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwasilisha bungeni nyongeza ya mapato na matumizi ya sh. bilioni 945.7 kwa ajili ya kuongeza Bajeti ya Serikali ya mwaka 2024/2025 kutoka shilingi trilioni 49.346 hadi sh. trilioni 50.291 iliyoidhinishwa awali na Bunge.(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dodoma) ………. Na. Josephine Majura, WF, Dodoma... Read More






