RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA BALOZI WA ROMANIA NCHINI TANZANIA IKULU ZANZIBAR
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na mgeni wake Balozi wa Romania Nchini Tanzania Mhe. Gentiana Serbu, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya mazungumzo na kujitambulisha, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 14-2-2025.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la... Read More









