Na Mwandishi wetu, Geita KIASI cha shilingi milioni 422 cha fedha za kusaidia jamii inayozunguka kampuni (CSR) zilizotolewa na mgodi wa dhahabu wa Geita (GGM) zitatumika kukamilisha miradi viporo ya miundombinu ya elimu na afya ya Manispaa ya Geita. Mkurugenzi wa Manispaa ya Geita Yefred Myenzi akizungumza kwenye kikao cha Baraza la madiwani amesema miradi... Read More










