Katika viwanja vya CCM Mwinjuma, Mwananyamala, Dar es Salaam, tamasha la chakula la Coca-Cola Tanzania maarafu kama ‘Coca-Cola Food Fest’ limezidi kunoga huku muuzaji mmoja, maarufu “Baba Lishe,” akiibuka kuwa kivutio cha kipekee. Stanlaus Baron, ambaye ni muuzaji wa chakula anayekua kwa kasi, amejitokeza kupinga mitazamo ya kijinsia inayokita mizizi katika tasnia ya upishi, akionyesha... Read More