RAIS Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Elimu la Kimataifa (GPE) amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Dickon Mitchell, Waziri Mkuu wa Grenada, Jijini New York, Marekani. Katika mazungumzo yao, Mwenyekiti wa GPE ameahidi kushirikiana na Visiwa vya Grenada ili kupatia ufumbuzi hitaji la elimu kwa njia ya... Read More
SHULE ya awali na msingi New Light ya mchepuo wa kiingereza iliyopo Mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, imefanya mahafali ya 13 ya kuhitimu darasa la saba ambapo kwa mwaka huu wa 2024 wanafunzi 72 wamehitimu. Wahitimu wa darasa la saba waliomaliza elimu ya msingi nchini wametakiwa kuishi na kulinda maadili yao... Read More
WILAYA ya Lushoto mkoani Tanga leo Septemba 22, 2024 imeandika historia mpya kwa kuzindua rasmi tamasha lake la kwanza la Utalii linalolenga kuunga mkono juhudi za Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kukuza sekta ya utalii nchini. Akizungumza muda mfupi kabla ya uzinduzi huo, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii... Read More
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Salim Msangi (kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Abdul Mombokaleo, wakati alipokuwa anawasili Uwanja wa Ndege wa Songea, Mkoani Ruvuma, Septemba 22, 2024, kwa ajili ya kukagua jengo jipya la kuongozea ndege katika uwanja huo, ambalo linatarajiwa kuzinduliwa... Read More
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Salim Msangi (kushoto), akimsikiliza Mkurugenzi wa Huduma za Uongozaji Ndege wa Mamlaka hiyo, Flora Alphonce, alipokuwa akiwatambulisha Maafisa wa TCAA kabla ya kutoa taarifa fupi ya jengo jipya la kuongozea ndege katika Uwanja wa Ndege Songea, Mkoani Ruvuma, Septemba 22, 2024. Jengo hilo pamoja na... Read More
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Salim Msangi (kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Abdul Mombokaleo, wakati alipokuwa anawasili Uwanja wa Ndege wa Songea, Mkoani Ruvuma, Septemba 22, 2024, kwa ajili ya kukagua jengo jipya la kuongozea ndege katika uwanja huo, ambalo linatarajiwa kuzinduliwa... Read More
Takriban Wapalestina watatu waliuawa wakati jeshi la Israel liliposhambulia kwa bomu shule inayohifadhi watu waliokimbia makazi yao katikati mwa Gaza mapema Jumapili. Kwa mujibu wa shirika la habari la Palestina Wafa, jeshi la Israel lililenga orofa ya juu ya Shule ya Khalid bin al-Walid huko Nuseirat. Shambulio hilo pia liliacha wengine wengi kujeruhiwa. Siku moja... Read More
Muda huu kutoka Magomeni Mapipa Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekamatwa na jeshi la polisi baada ya kuonekana maeneo haya akizungumza na waandishi wa Habari, Mbowe amekamatwa yeye kisha Binti yake aliyekuwa ameongozana naye . The post Picha :Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akamatwa na jeshi la polisi muda huu first appeared on Millard Ayo.
WILAYA ya Lushoto mkoani Tanga leo Septemba 22, 2024 imeandika historia mpya kwa kuzindua rasmi tamasha lake la kwanza la Utalii linalolenga kuunga mkono juhudi za Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kukuza sekta ya utalii nchini. Akizungumza muda mfupi kabla ya uzinduzi huo, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii (anayeshughulikia... Read More