NIRC Pwani Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imesaini mkataba wa mradi wa uchimbaji visima vitano vya umwagiliaji katika Mkoa wa Pwani. Visima hivyo ni sehemu ya Mpango wa Serikali kupitia Programu ya Mifumo Himilivu ya Chakula kwa Kuzingatia Matokeo ili kuhakikisha nchi inakuwa na chakula cha kutosha. Visima hivyo vinatarajiwa kutumika katika kilimo cha... Read More











