* Hadi Januari 2025 taasisi za elimu zilizopatiwa umeme kupitia REA ni 18,597. * Asema Serikali inatoa ruzuku kwa watumiaji wa mwisho wa gesi ya LPG. Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatoa kipaumbele katika kufikisha umeme kwenye taasisi zinazotoa huduma kwa jamii zikiwemo Taasisi za... Read More










