Rais wa Marekani Donald Trump alisema Jumapili kwamba anaamini Marekani inapiga hatua katika mazungumzo yake ya kumaliza vita kati ya Urusi na Ukraine, lakini alikataa kutoa maelezo kuhusu mawasiliano yoyote aliyokuwa nayo na Rais wa Urusi Vladimir Putin. Akizungumza na wanahabari ndani ya Air Force One, Trump alidokeza kuwa watu hao wawili walikuwa wakiwasiliana; hayo... Read More





