…………. NA BALTAZAR MASHAKA, NYAMAGANA WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Kata ya Mabatini, Wilaya ya Nyamagana,mkoani Mwanza,wameadhimisha miaka 48 ya kuzaliwa kwa CCM kwa kupanda miti 245 katika taasisi za umma. Hatua hiyo inaonesha ni jinsi gani jamii inavyojizatiti kulinda mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi wilayani humo. Akizungumza na gazeti hili leo wakati... Read More










