Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania August 30, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo August 30, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Jina langu ni Abeli kutokea Arusha nchini Tanzania, baada ya kufanya vibarua kwa miaka mingi kwenye viwanda vya Wahindi nilichoka na kuamua nianze mpango wa kujiari maana ndipo nasikia kuna faida na watu wengi wameweza kutoka kimaisha. Na ili kufikia lengo langu hilo nilianza kutunza fedha zangu nilizopata kila mwisho wa mwezi ingawa ilikuwa kwa... Read More
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam August 30, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 30, 2024 first appeared on Millard Ayo.
ARUSHA. Wadau wanaoshiriki katika Kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Umma, Jijini Arusha, wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maono makubwa na shahuku ya kuona Mashirika ya Umma yanaimarika kiutendaji na kutimiza hazma ya kufanya Biashara nje ya... Read More
Benki ya Exim Tanzania imetoa msaada wa vifaa tiba ya afya kama sehemu ya mchango wake katika jitihada za kuboresha huduma za afya katika wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga. Makabidhiano hayo ambayo yamefanyika mbele ya Mkuu wa wilaya ya Kahama, Mboni Mhita, yanalenga kusaidia kupunguza changamoto za huduma za afya katika wilaya hiyo katika tukio... Read More
Na Mwandishi wetu SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imeunga mkono uanzishwaji wa Jukwaa la Tanzanite Ceo Roundtable Zanzibar Chapter na kuona ni moja ya njia itakayoweza kukuza na kuendeleza uwekezaji na biashara kwa kukuza uchumi wa nchi. Pia imewataka Watendaji wakuu wa Sekta binafsi kutoka ndani na nje ya nchi kutumia Jukwaa hilo katika kuonyesha Serikali... Read More
Dar es Salaam: Global Global cloud communications platform Infobip has appointed Yariv Dafna as Chief Financial Officer (CFO) to strengthen the company’s position as a leader in the Communications Platform as a Service (CPaaS) market. With his extensive experience in finance, business management, and operations, as well as a background in corporate development and M&A spanning... Read More
Wanafunzi pamoja na Wahadhiri kutoka Chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), MWEKA pamoja na UDSM wamejengewa uwezo wa kufanya tafiti za kutambua viumbe hai vilivyokaribuni kutoweka na kupatiwa vifaa vya kitaalamu vitakavyowawezesha kupima na kuhifadhi sampuli za viumbe hai hivyo kupitia mradi wa CONTAN unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la wadau,... Read More
THE Tanzania People’s Defence Forces (TPDF) is turning 60 this September. It has been a remarkable and eventful journey for this formidable defence force which has during all this time, proved to be a truly People’s Army. Established on 1st September, 60 years ago, TPDF has lived to the expectations of many Tanzanians. Keeping pace... Read More