Shirikisho la soka Afrika (CAF) muda mchache uliopita limepanga Makundi ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga SC ya Tanzania ambao ndio wawakilishi wa Tanzania katika michuano hiyo wamepangwa Kundi A na timu za TP Mazembe ya Congo DR, Al Hilal ya Sudan na MC Alger ya nchini Algeria. Msimu uliopita Yanga SC aliishia... Read More