Veronica Simba, WMA Dodoma Imeelezwa kuwa ujenzi unaoendelea wa Ofisi Kuu ya Wakala wa Vipimo (WMA) unatarajiwa kukamilika Januari 2025. Mwakilishi wa Mtendaji Mkuu wa WMA, Karim Zuberi amemweleza hayo Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Kaspar Mmuya aliyefanya ziara kujionea maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo eneo la Medeli jijini Dodoma, Septemba 27,... Read More
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Katika hotuba yaka amesisitiza umuhimu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na Akili Bandia (Artificial Intelligence) kwa maendeleo ya elimu na dunia kwa ujumla. Amesema kuwa dunia inabadilika na kuhamia kwenye teknolojia za kisasa, na kuwashauri wanafunzi kutumia fursa ya kitengo cha TEHAMA kilichopo shuleni humo kwa kujifunza... Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mchepuo wa Sayansi na Sanaa Namtumbo Mkoani Ruvuma iliyopewa jina la ya Dr.Samia Suluhu Hassan ambayo ujenzi wake umegharimu Shilingi Bilioni 4.6 leo September 27,2024. The post Picha: Rais Samia azindua Shule hii ya... Read More
Rapper Nay wa Mitego amefika baraza la Sanaa la Taifa BASATA leo hii, baada ya kupokea wito na baada ya kufika alipewa barua iliyoainisha makosa aliyofanya kupitia wimbo wake wa ‘Nitasema’ Barua hiyo ambayo imewekwa hadharani na mwanssheria wa Nay wa Mitego akidai wameipokea kutoka BASATA imeainisha makosa manne ambayo ni kutoa wimbo kwa walaji... Read More
Baada ya Waziri wa Maji Jumaa Aweso kutoa mwezi mmoja kwa RUWASA Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara kuhakikisha Maji yanapatikana katika Kijiji Losinyai kufuatia wananchi kuandamana na kufunga barabara wakidai kupatiwa huduma ya maji,hatimae agizo hilo limetekelezwa na wananchi wameanza kupata huduma hiyo. Hatua hiyo imekuja Baada ya Ayo TV na Millardayo kuripoti taarifa ya... Read More
Naibu Waziri Mkuu Dkt. Dotto Biteko (kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Alaf Limited Tanzania, Hawa Bayumi (kulia) wakati wa ufunguzi wa Maonyesho ya Kimataifa ya Viwanda (TIMEXPO 2024) yanayoendelea katika Ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam. Na Mwandishi Wetu, Michuzi tv NAIBU Waziri Mkuu Dkt. Dotto Biteko ameelezea... Read More
Mkurugenzi wa halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Bi Pendo Mangali wakati akitoa maelekezo ya uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 /2024. Msimamizi wa uchaguzi katika wilaya ya Kalambo Shafi Mpenda wakati akitoa maelekezo ambayo ndio mwongozo wa uchaguzi wa Serikali za mitaa. ……………. Rukwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Halmashauri... Read More
Israel imeahidi hivi punde siku ya Alhamisi, Septemba 26 kupambana na Hezbollah kutoka Lebanoni “hadi ushindi”, ikikataa wito wa kimataifa wa kusitisha mapigano kwa siku 21, huku mashambulizi makubwa ya anga yakiendelea mashariki na kusini mwa Lebanoni. Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amebaini kuwa itakuwa “kosa” kwa Benjamin Netanyahu kukataa usitishaji mapigano. Katika mkutano wa... Read More
Mwanamitindo mahiri wa Uingereza Naomi Campbell ameondolewa kwenye nafasi ya kuwa mdhamini wa shirika la hisani kwa miaka mitano baada ya Tume ya Misaada ya Uingereza kupata ubadhirifu mkubwa wa fedha katika Fashion for Relief, ambayo alianzisha. Hii ilijumuisha kutumia pesa za usaidizi kulipia malazi ya Campbell katika hoteli ya nyota tano huko Cannes, Ufaransa,... Read More