Mbunge wa Jimbo la Mahonda ,Mkoani Kaskazini B , Mheshimiwa Abdullah Mwinyi akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani kwenye uzinduzi rasmi wa Mpango shirikishi wa kilimo unaolenga kuwaleta pamoja wadau wote kwenye sekta na kufanya kilimo kwa ushirikiano lengo ni kuongeza tija na kukuza mnyororo wa thamani na kupunguza tatizo la ajira, , kulia... Read More