Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam December 27, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 27, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Wakala wa nyota wa kimataifa wa Uhispania, Dani Olmo, aliibua utata kuhusu hatma yake na FC Barcelona, kabla ya kipindi kijacho cha msimu wa baridi wa 2025. Read More
Kylian Mbappe alitumia Instagram kusherehekea miaka 26 ya kuzaliwa kwa rafiki yake wa karibu Achraf Hakimi kitofauti. Mbappe alishiriki picha kadhaa zinazoangazia urafiki wao, ikiwa ni pamoja na picha ya kukumbukwa wakiwa pamoja kwenye Kombe la Dunia la 2022. Alisema “Happy birthday brother. Wish you the best as always. Love you. ❤️” Source Millard Ayo.... Read More
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imetoa ziadi ya shilingi Milioni 500 kwa ajili ya kufanikisha Tamasha la 43 la Kimataifa la Utamaduni na Sanaa tarehe 23 Oktoba 2024, Chuo cha Sanaa Bagamoyo. Read More
Wikiendi hii wapinzani wakubwa hapa Tanzania wanamenyana kwenye Ligi Kuu ya NBC kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa huku timu hizo zikitofautiana kwa pointi moja pekee. Read More