0 Comment
BAADA ya kuandika rekodi akiwa na Yanga kwa kuipeleka makundi ya michuano ya CAF ikiwa imepita miaka 25 akiinoa timu hiyo katika msimu wake wa kwanza, kocha Miguel Gamondi amerudia tena akiivusha Singida Black Stars katika Kombe la Shirikisho Afrika. Misimu miwili iliyopita Gamondi aliivusha Yanga makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuitoa El... Read More







