IKIWA ni Sehemu ya Ushiriki wa TIC katika tukio la kimkakati la LandRover Festival 2024 na adhimisho la Kumbukizi ya Kifo cha Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa awamu ya kwanza na Mwasisi wa Taifa, Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Kimeshiriki katika Zoezi la Upandaji miti katika eneo la viwanja vya Magereza Kisongo... Read More
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amejiandikisha katika daftari hilo Mtaa wa Mjimwema Manispaa ya Songea Read More
Tamasha linalosubiriwa kwa hamu la Samia Fashion Festival linatarajiwa kuzinduliwa, likiwaunganisha magwiji wa mavazi na utamaduni wa kiTanzania. Read More
Sitoshangaa Pamba kuwafunga Yanga au kupata hata sare dhidi ya Pamba Kwasababu Pamba wameahidiwa kila goli moja ambalo watafunga watapata shilling Million sita na hiyo itaenda kuamsha morali kwa wachezaji na bench la ufundi kucheza vizuri dhidi ya Yanga ili kupata hata sare au ushindi” Anasema Alex Ngereza
KIKOSI CHA YANGA Vs PAMBA LEO 03 OCTOBER 2024 Young Africans itacheza na Pamba Jiji kwenye Ligi Kuu Bara ya Tanzainia mnamo Oktoba 3. Mechi hiyo itaanza saa 18:30 kwa saa za kwenu. Young Africans wana kibarua kigumu kwa sasa wakishinda mechi zao dhidi ya MC wa Kinondoni, KenGold, Etheopia Bank, Etheopia Bank, Kagera Sugar,... Read More