0 Comment
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala, Mibako Mabubu (Kushoto) akibadilishana mkataba wa makubaliano na Kaimu Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu,Charles Mhando ,wengine pichani ni wafanyakazi wa halmashauri hiyo na Mgodi wa Bulyanhulu. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Msalala Leonard Mashaka Mabula (Kushoto) akibadilishana mkataba wa makubaliano na Kaimu Meneja Mkuu... Read More