Na WMJJWM- Dar Es Salaam Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake, Jinsia na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamisi amepongeza Mashirika ya Railway Children Africa, Citizen 4 Change na Small Things Tanzania kwa kushirikiana kufanya utafiti kwa lengo la kujua hali ya uzoefu ya vijana ambao wamepata huduma ya Malezi Mbadala katika familia. Naibu... Read More
Na WILLIUM PAUL, ROMBO. RAIS Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kuongoza maelfu ya wananchi katika mashindano ya riadha yajulikanayo kama Rombo marathon and Ndafu Festival Disemba 23 mwaka huu wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro. Akizungumza leo na waandishi wa habari kuelekea mashindano hayo, Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mangwala alisema... Read More
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam December 13, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 13, 2024 first appeared on Millard Ayo.
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga “CHIDO” katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa kisiwa cha Madagascar Mifumo ya hali ya hewa inaonesha kuwa kimbunga hicho kinatarajiwa kuelekea maeneo ya kaskazini mwa Msumbiji katika kipindi cha siku nne zijazo (tarehe 13 hadi 16 ya mwezi Disemba, 2024. Taarifa... Read More
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga “CHIDO” katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa kisiwa cha Madagascar Mifumo ya hali ya hewa inaonesha kuwa kimbunga hicho kinatarajiwa kuelekea maeneo ya kaskazini mwa Msumbiji katika kipindi cha siku nne zijazo (tarehe 13 hadi 16 ya mwezi Disemba, 2024. Taarifa iliyotolewa... Read More
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam December 13, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 13, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Changamoto ya kutokuwa na mpango bora wa matumizi ya ardhi umeelezwa kuchangia uharibifu kwenye vyanzo vya maji kwa kusababisha muingiliano wa makazi ya watu katika vyanzo hivyo, shughuli za kibinadamu hasa kilimo na ufugaji hali inayopelekea upungufu wa Rasilimali za maji katika maeneo mengi nchini. Kutokana na uwepo wa changamoto hiyo, Bodi ya Maji Bonde... Read More
Mbunge wa jimbo la Same Magharibi Dkt.David Mathayo akikabidhi pomba za kusafirishia maji kwa wananchi wa Chekareli baada ya kukosa maji kwa miaka 30. *Wakosa maji kwa miaka 30 Ilani ya CCM imetatua changamoto hiyo. Na Mwandishi Wetu WANANCHI wa kijiji cha Chekereli Kata ya Mabilioni Wilayani Sam,Mkoani Kilimanjaro, wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya... Read More
Watendaji Wakuu wa SGA Security, wakipongezana wakati wa hafla ya kusherehekea miaka 40 ya kampuni hiyo Tanzania. Hafla hiyo imefanyika katika ofisi za SGA Jijini Dar es Salaam. JESHI la Polisi nchini limepongeza kazi nzuri zinazofanywa na kampuni za ulinzi binafsi ikiwemo kampuni ya SGA ambapo limeahidi kushirikiana na kampuni hizo katika kuhakikisha usalama... Read More