0 Comment
Na Mwandishi Wetu, Arusha Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kujenga nyumba zenye uhitaji katika maeneo ya mijini. Mhe. Pinda ametoa kauli hiyo tarehe 24 Oktoba 2024 jijini Arusha wakati akikabidhi hati milki za ardhi kwa wananchi walionunua viwanja kupitia Mradi wa... Read More