0 Comment
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akilakiana na Mkurugenzi wa benki ya Dunia, anayesimamia Miundombinu, Bi. Wendy Hughes, alipofanya ziara ya kikazi nchini, ambapo Mkurugenzi huyo alikutana na kufanya mazungumzo na Mawaziri watatu wa Kisekta, akiwemo Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. Abdallah Ulega, ambapo walijadili kuhusu... Read More