0 Comment
Wizara ya Maji kupitia Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini ndio zenye dhamana yakuhakikisha huduma za maji safi na usafi wa mazingira zinawafikia wananchi wote katika maeneo ya mijini kwa viwango na ubora unaostahili. Taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini iliyowasilishwa kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge... Read More