0 Comment
Arusha NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tamisemi anayeshughulikia Miundombinu Mhandisi Rogatus Mativila ameagiza wakandarasi wanaojenga barabara za Engosheraton, Olasiti na Oljoro patakapojengwa stendi mpya ya mabasi kwa Jiji la Arusha zikamilike kwa wakati. Agizo hilo lilitolewa Jijini hapa na Mhandisi Mativila wakati alipotembelea barabara hizo tatu zenye urefu wa kilomita 12.1 kupitia Mradi wa... Read More