0 Comment
Leo 24 Oktoba 2024 – Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), wamezungumza na waandishi wa Habari kutangaza kuzisogeza mbele Tuzo za ‘Samia kalamu Awards’ ambazo walizindua tarehe 13 Oktoba 2024, ikiwa ni ushiriki wa wanahabari katika tuzo hizo zenye kaulimbiu “Uzalendo Ndio Ujanja.” Wakiongea na... Read More