0 Comment
Na Oscar Assenga, Tanga Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Jacobs Mwambegele amesema kwamba mawakala, viongozi wa vyama vya siasa hawaruhusiwi kuingilia mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura vituoni. Mchakato wa zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura likitarajiwa kuanza mkoani Tanga February 13 mwaka... Read More