0 Comment
Mwamvua Mwinyi, Chalinze Februari 4, 2025 Ofisa Ardhi Halmashauri ya Chalinze mkoani Pwani, Baltazar Mitti, ameeleza kuwa kero nyingi za migogoro ya ardhi zinatokana na wananchi kutokuwa na uelewa wa kisheria, hali inayosababisha kutapeliwa au kudhulumiwa. Akitoa elimu kuhusu Sheria ya Ardhi kwa wananchi wa vijiji vya Milo, Buyuni, na Vigwaza, katika ziara ya maofisa... Read More










