0 Comment
Na Mwandishi wetu WACHEZAJI takribani 122 wamejiandikisha kushiriki mashindano ya Lina PG Tour msimu wa pili yanayoanza kutimua vumbi leo katika Viwanja vya gofu vya Gymkhana mkoani Morogoro. Mashindano hayo ambayo kwa mara ya kwanza yalifanyika mwaka jana yanaendelea tena mwaka huu yakiwa na lengo la kumuenzi mchezaji gofu wa zamani timu ya Taifa ya... Read More










