0 Comment
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha “Mjitokeze kwa wingi kwenye zoezi la uandikishaji wa wapiga kura, Natarajia kuona watu sita ndani ya kila saa ili tufikie malengo yetu ya uandikishaji kwa mkoa,” amesema Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge. Ili kuhakikisha mafanikio ya zoezi hilo, ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani imeandaa mbio za... Read More