0 Comment
Mwalimu Kiongozi wa huduma ya matengenezo ya kiroho Augustine Tengwa ameviomba vyama vya siasa nchini kutogombania madaraka kuilinda amani ya Tanzania Ametoa kauli hiyo Octoba 11 Jijini Dar es salaam wakati akizungumza na wanahabari kuhusu maono ambayo watumishi wamefunuliwa kuelekea uchaguzi kuwa kutakuwa na umwagikaji damu ya mauaji ya wenyewe kwa wenyewe. “Tuilinde amani tuliyonayo... Read More