0 Comment
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano wa 46 wa Kawaida wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha, tarehe 28 Novemba 2024. Mhe. Balozi Kombo ambaye ameshiriki Mkutano... Read More