0 Comment
Wajasiriamali Wadogo na wa Kati Afrika wamehimizwa kuwekeza Nchini Tanzania hususani sekta ya Utalii kwani ndio sekta yenye uhakika wa kipato. Mbali ya kuwahimiza kuwekeza Nchini pia Wajasiliamali hao Wanawake na Vijana wametakiwa kujisajili katika mfumo rasmi wa kifedha ili waweze kutambulika na serikali na benki ili waweze kukopesheka. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa... Read More