0 Comment
Katibu wa Halmashauri Kuu(NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi,Uenezi na Mafunzo CPA Amoss Makalla, Akizungumza na Waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2024 Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimetoa sababu nne ambazo zimefanya Watanzania kuendelea kukiamini na kuchagua wagombea wa Chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa na miongoni... Read More