0 Comment
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MMILIKI wa Gorofa la Kariakoo lililoanguka hivi karibuni na kupelekea vifo vya watu 31 na kuacha wengine majeruhi Leondela Mdete na wenzake wawili, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia. Mbali na Mdete, washtakiwa wengine ni Zenabu Islam 61) na... Read More