0 Comment
MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imetoa elimu kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa na Mamkala hiyo kwa wanafunzi wa Shule ya sekondari ya Kibasila na kuwataka kusoma masomo ya sayansi ili waweze kusomea masuala ya anga kwa lengo la kupunguza uhaba wa watalaam wa Sekta hiyo nchini. Akizungumza wakati wa kutoa elimu hiyo Afisa... Read More