Muungano wa nchi 104 wanachama wa Umoja wa Mataifa, pamoja na Umoja wa Afrika, umelaani uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kumtangaza Katibu Mkuu Antonio Guterres “kuwa mtu asiyetakikana.” Read More
NANDY FESTIVAL KUPIGWA LEO Mwimbaji Star na muanzilishi wa Tamasha la Nandy Festival, Faustina Mfinanga, (Nandy) ametangaza kufanyika kwa Tamasha la Nandy Festival Tanga siku ya leo Jumapili baada ya kuhairishwa kufanyika siku ya Jana iliyokuwa imetarajiwa kutokana na mvua iliyonyesha Tanga Mjini na Sababu nyingine ambazo ajazitaja.. Nandy Festival Tanga ilipangwa kufanyika... Read More
Naibu Waziri wa maji Mhandisi Kundo Mathewe katikati,akitoa maelekezo kwa kwa wasimamizi wa mradi wa maji Mang’aka na mkandarasi wa mradi huo baada ya kukagua ujennzi wake,kushoto Mkurugenzi wa usambazaji wa mamlaka ya maji Masasi Nachingwea(Manawasa)Mhandisi Janeth Mawenya na kulia Mkuu wa wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara Christopher Magala. Naibu Waziri wa maji Mhandisi Kundo... Read More
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Omar Said Shabani akitoa maelezo katika hafla ya Jukwaa la Kumi na Tatu(13) la Biashara lililofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege,Kiembe samaki Zanzibar. PICHA NO-7516-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Jukwaa... Read More
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania October 13, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo October 13, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Katika kuadhimisha miaka 25 tangu kifo cha Baba wa Taifa, wanafunzi waliosoma Shule ya Sekondari Milambo, ambayo hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kufundisha wakati wa uhai wake, wamekabidhi tuzo maalum kwa Nyumba ya Baba wa Taifa. Hafla hiyo pia iliambatana na uzinduzi wa Tuzo ya Mwalimu. Akizungumza katika hafla hiyo, Mwenyekiti wa AMSHA, Derrick... Read More
Nimekuja kubaini katika maisha unaweza kufanya kazi kwa bidii sana na kujituma lakini ikawa ni vigumu kwa wewe kufanikiwa kwa sababu unakuwa anapambana katika eneo ambalo sipo riziki yako ilipo. Jina langu ni Ramadhani mkazi wa Mombasa, Kenya, tangu nikiwa kijana mdogo niliamua kujishughulisha na uvivu maana nilipenda sana safari za majini, kazi hiyo niliifanya... Read More
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 13, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 13, 202 first appeared on Millard Ayo.