0 Comment
Takwimu za magonjwa yasiyoambukiza ya mwaka 2012 inaonesha watanzania asilimia 9 wanaishi na wagonjwa ya kisukari huku asilimia 26 wana magonjwa ya moyo . Hayo ameyasema leo Jijini Dar es salaam Happy Nchimbi Meneja mradi Shirikisho la vyama vya magonjwa Yasiyoambukiza (TANCDA) kwenye semina ya iliyoandaniliwa na TANCDA baina ya waandishi wa habari na Wasanii... Read More