0 Comment
Afisa Muuguzi wa kituo cha afya Litumbandyosi Halmashauri ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma Songela Songela kulia,akimuonyesha Mganga Mkuu wa Halmashauri hiyo Dkt Seleman Jumbe wa pili kushoto na katibu wa afya wa Halmashauri Dickson Simangwe kitanda cha kujifungulia kwa akina mama wajawazito wanaofika kupata huduma hiyo,wa pili kulia Mganga mfawidhi wa kituo hicho Dkt Jackline... Read More