0 Comment
Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Bodi ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Profesa Othman Chande Othman amesema Tanzania ipo vizuri kwenye masuala ya viwango ambapo inajitaidi kuandaa viwango katika kila sekta ambazo zinasaidia katika uchumi na biashara ili viwanda viweze kuzalisha bidhaa zenye viwango Profesa Othman Chande alitoa kauli hiyo leo Oktoba 30,2024 jijini Dar... Read More