0 Comment
……………………. Na Sixmund Begashe – Tunduru Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Kale Dkt. Christowaja Ntandu akiwa ameambatana na Mkurugenzi Msaidizi, Maendeleo Malikale na Makumbusho Bw. William Mwita, amefika Shule ya Sekondari ya Wasichana Masonya kwa lengo la kujionea hali ya uhifadhi wa eneo hilo la kihistoria lililotumiwa na wanawake kutoka nchi ya Msumbiji kama... Read More