0 Comment
Na Mwandishi wetu- Iringa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Peter Serukamba ameipongeza na kuishukuru Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa shilingi bilioni 20 kwa ajili ya kuanza rasmi utekelezaji wa Awamu ya Pili ya Mradi wa Kusambaza Umeme kwenye Vitongoji (HAMLET ELECTRIFICATION PROJECT II) kwenye vitongoji... Read More