0 Comment
Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya Kiserikali ya wanawake katika Jitihada za Kimaendeleo (WAJIKI), Janeth Mawinza, akionyesha stika wanazobandika waendesha boda boda, Bajaji na madereva wa Daladala katika mradi wa Vunja Ukimya, Safari Salama bila Rushwa ya Ngono inawezekana uliozinduliwa leo Oktoba 10,2024 katika ofisi ya Kata ya Bunju jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Taasisi... Read More