0 Comment
Baada ya wananchi zaidi ya mia mbili kuaandamana na kufunga barabara kwa zaidi ya Saa sita kwa madai ya ukosefu wa maji katika kijiji cha Losintai katika kata ya Oljoro namba tano Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara,Waziri wa Maji Juma Aweso ameingilia jambo hilo nakulitilia mkazo nakusema kuwa mpango huo unatakiwa kukamilika ndani ya mwezi mmoja... Read More