0 Comment
▪️Ni mgodi wa uchimbaji wa madini adimu(Rare Earth Elements) ▪️Uzalishaji wa kwanza ni mwaka 2026 mwishoni ▪️Kiwanda cha Kusafisha Madini na kuongeza thamani madini kujengwa Songwe ▪️Rais Samia apongenzwa mazingira wezeshi ya uwekezaji Dodoma Kampuni ya Mamba Minerals Ltd yenye Leseni ya uchimbaji Madini adimu (Rate Earth Elements) imesema itaanza ujenzi rasmi wa Mgodi huo... Read More