0 Comment
Mchambuzi mahiri wa soka nchini, Saleh Jembe Mchambuzi mahiri wa soka nchini, Saleh Jembe, amesema kuwa ubora wa klabu kongwe za Simba SC na Yanga SC umechangia kwa kiasi kikubwa kuimarika kwa kiwango cha Timu ya Taifa, Taifa Stars. Akizungumza kuhusu mashindano ya CHAN, Jembe alisema Stars imeanza vizuri na anaamini itaendelea na mwenendo huo... Read More