0 Comment
Idara ya Uhamiaji imesema imelazimika kuwafukuza raia wawili wa kigeni kutoka Tanzania, Dk Brinkel Stefanie mwenye hati ya kusafiria ya Ujerumani yenye namba C475MMNGL na Catherine Janel Almquist Kinokfu mwenye hati ya kusafiria ya Marekani A80321764, baada ya kubainika kukiuka masharti ya viza zao za kitalii. Kufuatia tukio hilo, Msemaji wa Idara ya Uhamiaji kupitia... Read More