0 Comment
*MSD yashiriki mkutano wa UVIDA 2025 BOHARI ya Dawa (MSD) katika kuunga juhudi mbalimbali za Serikali na wadau wa Sekta ya Afya nchini, inashiriki kongamano la Saba Afrika la wiki ya kukabiliana na Usugu wa Vimelea vya magonjwa dhidi ya Dawa (UVIDA) linalofanyika Jijini Dar es salaam Desemba 2-5, 2025. Akizungumza katika kongamano hilo, Meneja Read More



.jpeg)






