0 Comment
Mkuu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila akizungumza wakati akifungua kikao Kazi kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa wa Manispaa ya Ubungo na Kinondoni kilichoandaliwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO )jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mhandisi Lazaro Twange akitoa maelezo kuhusiana na kikao... Read More