0 Comment
DALALI mmoja anayeishi Kipunguni jijini Dar es Salaam, Charles Shirima amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka 42 ikiwemo utakatishaji fedha kiasi cha Sh milioni mbili. Mshitakiwa amesomewa mashtaka yake na wakili wa serikali Michael Shindai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Romuli Mbuya Aprili 6,2025 Shidai amedai kuwa mashtaka ya kwanza hadi... Read More