0 Comment
OR – TAMISEMI Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Dkt.Diocles Ngaiza amesema zaidi ya wagonjwa 700 watapatiwa matibabu ya macho katika kambi ya matibabu ya wagonjwa wenye Mtoto wa jicho kwa siku Saba yanayoendelea katika Halmashauri hiyo. Dkt. Ngaiza ameyasema hayo wakati alipotembelea kambi hiyo itakayohudumu kwa siku saba ikiwa imeandaliawa na Taasisi... Read More