0 Comment
Nyota wa kiungo wa Real Madrid, Luka Modric alikataa kutoa jibu wazi kuhusu uwepo wake kwenye Kombe la Dunia la 2026. Nyota huyo wa Croatia alisema: “Kombe la Dunia la 2026 bado liko mbali. Katika umri wangu, ni ngumu kupanga siku zijazo za mbali. Siwezi kuthibitisha chochote na ni lazima nisikilize mwili wangu na kuona... Read More